Kumbe inawezekana,Rais akiamua,
hakunaatayekana,agizokupuuzia,
usafi ulivyofana,sote tuanfurahia,
Leosikuya Uhuru,kazitumefanikisha.
Bajeti alivyobana,wanyonge twafurahia,
ameiondoa dhana,mabosi pesa jilia,
angalau twafanana,wote tunacheklea,
Leo siku ya uhuru,kazi tumefanikisha.
Konisaga@gmail.com
0717 24 88 28//0629902077
09/12/2015
No comments:
Post a Comment